• DON'T MISS

    *****ADVERTISE HERE WITH US*****

    *****ADVERTISE HERE WITH US*****
    RABA CLASSIC

    Sunday, 11 June 2017

    Taifa Stars yatoshana nguvu na Lethoto pale Azam Complex pale Chamanzi.

    Michezo ya CAF imeendelea kurindima ambapo usiku wa june 10 2017,imepigwa michezo kadhaana moja kati ya michezo ambayo imekuwa ikiangaliwa sana ni kati ya Taifa Stars na Lethoto mchezo uliochezwa pale uwanja wa Azam Complex kuanzia majira ya saa 20:00 usiku.

    Mashabiki lukuki walihudhuria wakiwa na hamasa ya kuona vijana wao wakifanya maaajabu,lakini waaambulia kushuhudia vijana hao wa Taifa Stars wakitoshana nguvu na vijana wa lethoto kwa mchezo kumalizika kwa sare ya mojamoja.


    Goli la Stars lilifungwa kunako dakika ya 31 ya mchezo na nahodha wa timu hiyo,na mshambuliaji wa KRC Genk ya Ubelgiji,ambapo Lethoto wakarudisha goli hilo na kuufanya mchezo huo kumalizika kwa suluhu ya mojamoja.

    No comments:

    Post a Comment