• DON'T MISS

    *****ADVERTISE HERE WITH US*****

    *****ADVERTISE HERE WITH US*****
    RABA CLASSIC

    Sunday, 25 June 2017

    Taifa Stars yaisimamisha Malawi Cosafa Castle Cup 2017

    Michuano ya Cosafa castle cup,ambayo inaendelea huko Afrika kusini huku Taifa Stars wakiwa ni waalikwa kwenye michuano hiyo ambapo leo hii wameshuka dimbani kucheza na timu ya Malawi,huku Taifa stars wakionesha makali katika kipindi cha kwanza cha mchezo kwakuweza kuwachapa goli mbili zilizofungwa na Shiza Kichuya.
    Nacho kipindi cha pili kilianza kwa kasi huku malawi wakiweka jitihada katika kutafuta magoli,lakini vijana wa taifa stars walionekana kusimama imara kwa kuweza kulinda magoli waliyoyapata.


    Hivyo kufanya matokeokubaki kama yakipindi cha kwanza kwa timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars kuibuka kidedea kwa kunyakua point 3 muhimu na magoli 2-0 mkononi,kwenye mchezo wao wa kwanza ya michuano hiyo kwenye kundi A.

    No comments:

    Post a Comment