• DON'T MISS

    *****ADVERTISE HERE WITH US*****

    *****ADVERTISE HERE WITH US*****
    RABA CLASSIC

    Tuesday, 27 June 2017

    Taifa Stars wataendeleza ubabe Cosafa Castle Cup, leo .?

    Leo june 27 2017,Taifa Stars Baada ya kuwagalagaza Malawi kwenye mchezo wa kwanza kwenye michuano ya Cosafa Castle Cup,sasa Stars watashuka dimbani kuchuana na Angola.

    Mchezo huo unatarajiwa kufanyika pale kwenye uwnja wa “Royal Bafokeng Sports Palace” huku Timu zote mbili zikiwa na pointi sawa mkononi kwa kumiliki pointi 3 kila timu lakini Taifa star wakiwazidi Angola kwa goli moja kwani kwenye mchezo wao wa kwanza walishinda kwa 2-0 dhidi ya Malawi,huku Angola wakishinda kwa 1-0 dhidi ya Mauritius


    Hivyo mchezo huu unatarajiwa kuwa wenye ushindani mkubwa sana kwani kila timu inahitaji kusonga mbele kwa kuzitafuta pointi 3 muhimu,mchezo utachezwa majira ya saa mbili usiku kwa majira ya saa za Afrika mashariki.

    No comments:

    Post a Comment