• DON'T MISS

    *****ADVERTISE HERE WITH US*****

    *****ADVERTISE HERE WITH US*****
    RABA CLASSIC

    Monday, 26 June 2017

    Naamini kilichofanyika Mtakipenda – Rayvanny.

    Baada ya kunyakua tuzo ya Bet kwa kipengele cha Viewer’s Choice Best New International Act ,Rayvanny kaendelea kukutana na mastaa kibao wanaobamba kwenye soko la muziki marekani na duniani kote.
    Ambapo kwa mara nyingine ameendelea kuwa karibu na mkali Jason Derulo,ambaye wiki iliyopita walikuwa wote kwenye Coke Studio wakipika kitu,na sasa wakati huu walikuwa kwenye studio za mkali huyo wakitengeneza kitu special.

    Kupitia kwenye ukurasa wake wa instagram Rayvanny amezidi kutanabaisha kwa kuwaambia mashabiki wakae mkao wa kula kwa kuandika haya.

    "God bless you my brother @jasonderulo its amaizing opportunity,am so grateful for that......... Toka Saa 8 Usiku amekaa na mimi hadi Asubui... Studio kulikua na Watoto wakaaaaaliiiii ?lakini kawacha waondoke sababu walichoka kukaa studio yeye kabaki na sisi tu. Naamini kilichofanyika Mtakipenda”.

    No comments:

    Post a Comment