• DON'T MISS

    *****ADVERTISE HERE WITH US*****

    *****ADVERTISE HERE WITH US*****
    RABA CLASSIC

    Monday, 5 June 2017

    Singida United Imetupwa nje michuano ya Sportpesa cup na AFC Leopard toka Kenya.

    Michuano ya sport pesa cup,iliyoanza kurindima rasmi leo,jijini Dar es salaam kwenye uwanja wa uhuru,ambapo pambano la kwanza lililoanza ni kati ya “Singida United” na “AFC Leopard “ ya Kenya.
    Mchezo huu wa kwanza ulioanza kwa timu ya Singida United kuanza kwa kujipatia bao la mapema,ambalo lilikuja kusawazishwa baadae na vijana wa AFC leopardambapo mpaka dakika tisini zinamalizika matokeo yalikuwa 1-1 .na hapo ndipo mikwaju ya penalti ilipoanza kupigwa.

    Na hapo mambo yakawawia vigumu vijana wa Singida United baada ya kutolewa kwa jumla ya mikwaju 5-4,kwa maana hiyo Singida United wameyaaga mashindano hayo na mchezo unaofuata ni kati ya Yanga na Tusker ya Kenya.


    No comments:

    Post a Comment