• DON'T MISS

    *****ADVERTISE HERE WITH US*****

    *****ADVERTISE HERE WITH US*****
    RABA CLASSIC

    Wednesday, 21 June 2017

    Siku ya pili ya ziara ya Raisi Magufuli mkoani Pwani,na uzinduzi wa viwanda.

    Mh Raisi wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania ameendelea na ziara yake mkoani pwani kwenye siku ya pili ya ziara hiyo.
    Ambapo ametembelea kiwanda cha Global Packaging na kuzindua kiwanda hicho ikiwa ni sanjari na kuangalia namna kinavyofanya kazi,na mandhari nzima katika hatua za uzalishaji wa bidhaa za kiwanda hicho.

    Kiwanda hicho kilichopo eneo la Kibaha kinajishughulisha na uzalishaji wa vifungashio,ambavyo ni mifuko maalumu ianyotumiwa na watu mbalimbali katika kuhifadhi mazao mbalimbali,zaidi kama vile maharge ,mahindi,dengu na kadhalika.
    Rais Dkt. Magufuli akiwa na vingozi wenzake ikiwemo Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Charles Mwijage, Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Philip Mpango, Mkuu wa Mkoa wa Pwani, mhandisi Evarist Ndikilo akipata maelekezo mara baada ya kufungua kiwanda cha vifungashi cha Global Packaging (T) LTD mjini Kibaha asubuhi hii ikiwa ni siku ya pili ya ziara yake ya siku tatu ya mkoa wa Pwani.


    No comments:

    Post a Comment