• DON'T MISS

    *****ADVERTISE HERE WITH US*****

    *****ADVERTISE HERE WITH US*****
    RABA CLASSIC

    Sunday, 18 June 2017

    Ndondo Cup Yaanza kunoga ,Misosi FC yawachakaza Buguruni United kwa mvua ya magoli.

    Buguruni United leo walishuka dimbani dhidi ya Misoso SC,ambapo walianza vizuri kwa kupata mabao yao mawili ya haraka kipindi cha kwanza hadi mapumziko Misosi walikuwa nyuma kwa Buguruni waliokuwa wakioza kwa magoli 2-1.
    Kipindi cha pili Misosi wakaanza kufanya kweli na kufanikiwa kusawazisha kisha kuongeza magoli mengine matatu na kuibuka na ushindi. Mfungaji wa magoli ya Misosi Idd Selemani ‘Ronaldo’ akiwa kwenye kiwango bora kilichomavutia kila mtazamaji alieshuhudia mechi hiyo.

    Magoli ya Buguruni United yamefungwa na Sultan Kasikasi dakika ya 20 na 32,wakati Ronaldo wa Misosi akipasia kambani mara tano kwenye dakika ya 34, 50 (kwa penati), 61, 82 na 90+3 

    No comments:

    Post a Comment