• DON'T MISS

    *****ADVERTISE HERE WITH US*****

    *****ADVERTISE HERE WITH US*****
    RABA CLASSIC

    Wednesday, 21 June 2017

    Matokeo ya mechi za Michuano ya Ndondo cup 2017, leo juni 21.

    Michuano ya Sports Extra Ndondo Cup imeendelea kwenye viwanja tofauti ndani ya jiji la Dar es Salaam ambapo Kwenye uwanja wa Kinesi, Mdandu Investment walichuana na Kibo Kombaini. na wamepata ushindi wa magoli 2-1.
    Magoli yote ya Mdandu yamefungwa na mkongwe Kudra Omary dakika ya 8 na 18 kipindi cha kwanza wakati bao la Kibo Kombaini likifungwa na James Msuva dakika ya 45 kipindi cha kwanza.
    Huko Kwenye uwanja wa Tandika Mabatini,umechezwa mchezo mwingine ambao umewakutanisha baina ya Kibada One dhidi ya FC Madiba,na mwishowe kibada wameibuka na ushindi wa magoli 4-3.

    Lakini pia kwenye uwanja wa Airwing Burudani FC wameibuka na ushindi wa magoli 2-1 dhidi ya Inter Twiga.


    No comments:

    Post a Comment