• DON'T MISS

    *****ADVERTISE HERE WITH US*****

    *****ADVERTISE HERE WITH US*****
    RABA CLASSIC

    Thursday, 22 June 2017

    Marufuku mwanafunzi mwenye mimba kurudishwa shuleni,aonya Dkt Magufuli.

    Dkt Magufuli akiwa kwenye ziara yake ya siku tatu mkoani Pwani amewaambia wanachi wa mkoa huo kuwa kwa mtoto wa shule ni marufuku kupata mimba kisha kuendelea na shule.

    "Mtu amezaa iwe kwa makusudi iwe kwa raha zake akienda shuleni si atawafundisha wenzie? Yaani tusomeshe wazazi.Katika utawala wangu hakuna aliyezaa atakayerudi shuleni.” Hawa watu watazaaa mno, sababu huo mchezo ni mzuri, katika kipindi changu kama Rais ukipata mimba kwaheri.Mwisho utakuta darasa la kwanza wote wana watoto wanawahi kunyonyesha,kwasababu mchezo huu ni mzuri.Hizo NGO’s zitalipeleka taifa pabaya na hao sijui na wenyewe wakafungue shule za wazazi, siyo zilazimishe serikali kusomesha wazazi"alisema Rais Magufuli.


    Aidha Rais Magufuli alisema waliozaa shuleni wanaweza kwenda kupata elimu nyingine kama vyuo vya ufundi stadi (Veta) anaweza akajifunza kushona cherehani anaweza akaenda kukopa akaanza kilimo cha kisasa anaweza akafanya shughuli nyingine.

    No comments:

    Post a Comment