• DON'T MISS

    *****ADVERTISE HERE WITH US*****

    *****ADVERTISE HERE WITH US*****
    RABA CLASSIC

    Tuesday, 20 June 2017

    Masta wa soka Ulaya waendelea kufanya Utalii Nchini Tanzania.

    Mchezaji wa klabu ya Tottenham Hotspurs ya Uingereza na kiungo wa timu ya Taifa ya Denmark Christian Eriksen,ni miongoni mwa wachezaji ambao waliamua kutembelea vivutio vya utalii nchini Tanzania kwenye kipindi hiki cha mapumziko.
    Mchezaji Victor Wanyama ambaye ni star wa timu ya taifa ya Kenya, na klabu ya Tottenham Spurs naye amewasili nchini Tanzania ili kufanya Utalii kwenye maeneo tofautii,na amekuwa akiendelea kuposti picha kwenye mitandao ya kijamii na kuweka wazi kila sehemu anayofika.


    Hii imekuja baada ya mda mfupi uliopita kuwaona watu mashuhuri kadhaa waliowatangulia kuja kujionea vivutio vingi vinavyopatikana Tanzania,akiwemo David Bekhamaliyekuja na familia yake na watu kadha wa kadha.

    No comments:

    Post a Comment