• DON'T MISS

    *****ADVERTISE HERE WITH US*****

    *****ADVERTISE HERE WITH US*****
    RABA CLASSIC

    Monday, 19 June 2017

    Burudani imehamia Ndondo Cup 2017,ambako vumbi limeendelea kutimka.

    Michuano ya Sports Extra Ndondo Cup ambayo inayoendelea kwa msimu wa nne sasa ambapo,huko kwenye uwanja wa Mwl Nyerere uliyopo Magomeni ulichezwa mchezo mmoja wa Kundi E.
    Kwenye uwanja wa Mwalim Nyerere mchezo kati ya Mlalakuwa na Goroka FC mtinange ulionekana kuwa na shamrashamra kwa kumalizika kwa Mlalakuwa kuondoka na point tatu kwa ushindi wa magoli 4-0
    Magoli ya Mlalakuwa yalifungwa na Henry Mkongo dakika ya 16,Kigi Makassy akafunga goli la pili dakika ya 26, dakika ya 86 Ayoub akapachika goli la tatu na Fakhi Hakika kuipatia ushindi kwa kufunga goli la nne dakika ya 89 ya mchezo. 

    No comments:

    Post a Comment