• DON'T MISS

    *****ADVERTISE HERE WITH US*****

    *****ADVERTISE HERE WITH US*****
    RABA CLASSIC

    Monday, 1 May 2017

    Baada ya Totttenham kuipeleka mchaka mchaka Arsenal na kuwachapa goli 2-0,yashika namba 2 EPL.


    Baada ya kukubali kipigo cha goli 2-0 toka kwa Tottenham Hotspurs, klabu ya Arsenal zote za uingereza katika mchezo ligi kuu nchini humo washika bunduki hao sasa wameangukia nafasi ya nne.

    Ambapo wababe wao hao,Totenham wakikamata nafasi ya pili,kwenye mchaka mchaka wa kuelekea kwenye harakati za ubingwa wa ligi kuu ya uingereza msimu huu.


    Mchezo wao ulichezwa pale uwanja wa “White Hart Lane” aidha magoli hayo ya tottenham Hotspurs yaliwekwa kimiani na “Dele Alli pamoja na Harry Kane“.

    No comments:

    Post a Comment