• DON'T MISS

    *****ADVERTISE HERE WITH US*****

    *****ADVERTISE HERE WITH US*****
    RABA CLASSIC

    Wednesday, 31 May 2017

    Taifa Stars imewasili salama nchini Misri itakapoweka kambi.


    Timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars imewasili salama nchini Misri ambako imekwenda kuweka kambi ya muda wa wiki moja ili kujianda na mchezo dhidi ya timu ya Lesotho.
    Ambapo pia makocha wa timu ya Taifa Stars walifanya majukumu yao kwa kuendelea kukagua viwanja na maeneo ya gym ambayo wanatakuwa wanatumia kwaajili ya mazoezi wawapo Misri.

    Timu hii inaenda kuanza kambi hiyo huku ikiwakosa wachezaji wake kadhaa ambao,mmoja wake akiwa ni nahodha wa Taifa Stars na mshambuliaji wa KRC Genk ya Ubelgiji.

    No comments:

    Post a Comment