• DON'T MISS

    *****ADVERTISE HERE WITH US*****

    *****ADVERTISE HERE WITH US*****
    RABA CLASSIC

    Saturday, 29 April 2017

    Yanasubiriwa masaa kuelekea kushuhudia makonde mazito pale uwanja wa Wembley mjini London.










    Ile siku ambayo ilikuwa inasubiriwa na wengi hasa wapenzi wa mchezo wa ngumi duniani, imewadia ambapo tambo na majigambo ya kutunishiana misuli yatafika mwisho punde mpambano huu utakapomalizika.

    siku hii Jumamosi ya tarehe29 April, 2017 kwenye uwanja wa Wembley jijini London ambapo litashuhudiwa lile pambano kali la mchezo wa ndondi litakalowakutanisha miamba wawili kutoka Uingereza na Ukraine, Anthony Joshua naWladimir Klitschko.

    Aidha pambano hilo limetanguliwa na tambo nyingi kutoka kwa mabondia hao ambao kila mmoja ametamba kuibuka bingwa dhidi ya mwenzake. Na mashabiki wanaokadiriwa kufikia 90,000 watatarajiwa kuingia katika uwanja wa Wembley mjini London.


    Ninakuletea picha yenye rekodi inayowachambua wakali hawa:

    No comments:

    Post a Comment