• DON'T MISS

    *****ADVERTISE HERE WITH US*****

    *****ADVERTISE HERE WITH US*****
    RABA CLASSIC

    Saturday, 29 April 2017

    Jux amekanusha uvumi unaozagaa kuwa wameachana na vanessa mdee.

    Siku chache zilizopita zilizuka tetesi kwamba mastaa wawili wa muziki ambao wako katika mahusiano ya kimapenzi, Vanessa Mdee na Jux wameachana.Tetesi ambazo zilizua gumzo katika mitandao ya kijamii, ikiwa hatukupata kauli yoyote kutoka kwa wahusika hao wawili.

    Kwenye kipindi cha XXL ya Clouds FM Jux alikuwa akitambulisha ngoma yake mpya ambayo inakwenda kwa jina la "Umenikamata", lakini moja kati ya maswali ambayo aliulizwa ni kuhusu tetesi za kuvunjika kwa mahusiano yake na Vanessa.

    Aidha JUX amekanusha tetesi hizo kwa amedai kwa amesema kuwa wanaosambaza uzushi kuwa ameachana na vanessa mdee kuwa sio kweli,kwani wako vizuri sana,anasema anaelewa wao wako kikazi zaidi na anapenda watu pia waelewe hivyo.

    Aliongeza kwa kusema watu wote tunapaswa kuwasapoti wanawake wanaofanya muziki ili kuwatia moyo kwa kile wanachokifanya na sio kuwakatisha moyo tu.

    No comments:

    Post a Comment