Wakenya “Mary Keitany na Daniel Wanjiru' watikisa
na kuibuka kidedea kwenye mbio za London Marathon.

Katika mbio za wanaume Daniel Wajiru wa Kenya ameshinda kwa muda wa 2:05:56 na raia wa Ethiopia “Kenenisa Bekele” amemaliza katika nafasi ya pili kwa muda wa 2:17:56

kwenye mbio za wanawake “Mkenya Keitany” ameandikisha rekodi mpya ya mbio hizo za wanawake pekee za umbali mrefu au za nyika kwa muda wa 2:17:01,na kwake ni mara ya tatu sasa kunyakua tuzo hiyo.

Katika mbio za wanaume Daniel Wajiru wa Kenya ameshinda kwa muda wa 2:05:56 na raia wa Ethiopia “Kenenisa Bekele” amemaliza katika nafasi ya pili kwa muda wa 2:17:56

kwenye mbio za wanawake “Mkenya Keitany” ameandikisha rekodi mpya ya mbio hizo za wanawake pekee za umbali mrefu au za nyika kwa muda wa 2:17:01,na kwake ni mara ya tatu sasa kunyakua tuzo hiyo.
No comments:
Post a Comment