• DON'T MISS

    *****ADVERTISE HERE WITH US*****

    *****ADVERTISE HERE WITH US*****
    RABA CLASSIC

    Sunday, 23 April 2017

    Kamati ya katiba na hadhi za wachezaji ya TFF yawarudishia kagera sugar pointi zao


    TFF kamati ya katiba na hadhi za wachezaji yawarudishia kagera sugar pointi zao za mchezo walioshinda dhidi ya wekundu wa msimbazi "Simba SC",katibu mkuu wa TFF Selestine Mwesigwa alisema kuwa  matokeo yaliyotokea siku ya mchezo wa timu hizo mbili yatabaki kama yalivyokuwa awali.hivyo hii ina maana kuwa malalamiko yaliyotolewa na simba na maamuzi yaliyochukuliwa yametupiliwa mbali baada ya kamati kukaa na kupitia kanuni zinazowaongoza kiutendaji.

    “Kikao cha kamati ya masaa 72 kimeonekana kukosa uhalali,kwa kuwashirikisha wajumbe walioonekana kutokuwa sehemu ya kamati hiyo”.


    “Walioonekana kupotosha kamati bodi ya ligi itashughulika nao baada ya kupata majina yao,hivyo hata nafasi za msimamo wa ligi utaonekana katika mtazamo mpya sasa”.

    No comments:

    Post a Comment