• DON'T MISS

    *****ADVERTISE HERE WITH US*****

    *****ADVERTISE HERE WITH US*****
    RABA CLASSIC

    Sunday, 23 April 2017

    Chelsea club,"The blues" yaichapa Totenham hotspurs 4-2.

    The blues Chelsea imefanikiwa kutinga hatua ya fainali kwenye kombe la FA baada ya kuwabamiza Totenham hotspurs mabao 4-2 katika mchezo wa nusu fainali uliochezwa kwenye uwanja Wembley.

    Chelsea ilipata bao la kwanza kupitia kwa mchezaji Willian katika dakika ya 5 ya mchezo kwa mpira wa adhabu ndogo na kwenda moja kwa moja wavuni,baada ya dakika kumi kupita pale mshambuliaji wa spurs Harry kane alipo ilisawazishia spurs kwa mpira wa kichwa baada ya kupokea pande zuri kutoka upande wa kulia,kwa mara nyingine Willian akaiandikia Chelsea bao lingine dakika ya 43 kwa mkwaju wa penalti wakati bao lingine la Chelsea limefungwa na Nemanja Matic dakika ya 80 goli la pili la spurs lilifungwa na Dele Alli dakika ya 52.

    Kwa matokeo hayo sasa Chelsea itakutana na mshindi kati ya Arsenal na
    Manchester City zitakazokutana hapo kesho kwenye uwanja wa Wembley.

    No comments:

    Post a Comment