• DON'T MISS

    *****ADVERTISE HERE WITH US*****

    *****ADVERTISE HERE WITH US*****
    RABA CLASSIC

    Friday, 21 April 2017

    Wadau wengi wajitokeza katika mazishi ya baba yake Belle 9 huko morogoro.




















    Wanamuziki mbalimbali pamoja na wadau tofauti wa sanaa na muziki wamejitokeza kwa wingi, katika mazishi ya baba wa staa wa muziki, Belle 9 aliyefariki akiwa hospitalini mkoa wa morogoro usiku wa Machi 18 akipatiwa matibabu baada ya kugongwa na pikipiki.


    Mzee Damian amefariki dunia baada ya kugongwa na boda boda iliyokuwa kwenye mwendo mkali huko mjini Morogoro alikokuwa akiishi.,mzee huyo wa mwanamuziki belle 9,alivunja mguu mmoja kwenye ajali hiyo na baadae kuwahishwa hospitali,Dereva wa boda boda aliyemgonga nae aliumia vibaya kupata majeraha kichwa.


    Najua kwa sasa Belle 9 yupo kwenye wakati mgumu kwa kumpoteza baba yake, amabye amekuwa mwalimu wake kwa mengi katika maisha yake,Salamu za pole kwa kijana wetu Belle 9 kwa msiba huu mzito na Mungu ailaze roho ya baba yake mahali pema peponi.




    No comments:

    Post a Comment