• DON'T MISS

    *****ADVERTISE HERE WITH US*****

    *****ADVERTISE HERE WITH US*****
    RABA CLASSIC

    Friday, 21 April 2017

    KRC Genk anayoichezea Mbwana Samatta yashindwa kutamba mbele ya Celta Vigo.


    April 20 2017 michuano ya robo fainali ya “UEFA Europa League” iliendelea kwa michezo ya marudiano ya robo fainali kuchezwa, timu ya KRC Genk anayoichezea Mbwana Samatta ilicheza mchezo wake wa marudiano dhidi ya Celta Vigo katika uwanja wake wa nyumbani.


    Mchezo huo wa KRC Genk dhidi ya Celta Vigo ulikuwa ni mchezo ambao KRC Genk walitakiwa mtiha kuvunja rekodi ya Celta Vigo yakutowahi kufungwa na timu za Ubelgiji katika mashindano ya”UEFA Europa League” lingawaje kwao ni mara ya kwanza Genk na Celta Vigo kukutana.

    Genk wameondolewa na Celta Vigo katika hatua hiyo kwa kulazimishwa sare katika mchezo wa leo, hiyo ni baada ya leo kutoka sare ya 1-1,na imehitimishwa hivyo kwakuwa Genk walifungwa kwa magoli 3-2 katika mchezo wa kwanza uliyochezwa Balaidos.

    No comments:

    Post a Comment