• DON'T MISS

    *****ADVERTISE HERE WITH US*****

    *****ADVERTISE HERE WITH US*****
    RABA CLASSIC

    Saturday, 29 April 2017

    Simba yadhihirisha kuwa yake nyama lamba lamba tupa kule.


    Nusu fainali ya kwanza ya Kombe la Azam Sports Federation Cup (ASFC)msimu wa 2016/17 ilichezwa uwanja wa Taifa Dar es Salaam ambapo walikutana timu za Simba dhidi ya Azam FC.

    Simba imefanikiwa kupata ushindi huo wa kwanza dhidi ya Azam FC kwa mwaka 2017 baada ya kupoteza michezo yao miwili kati ya mitatu waliyocheza dhidi ya Azam FC kwa mwaka 2017, na wamefanikiwa kuupata  ushindi wa goli 1-0 lililofungwa na Mohamed Ibrahim.

    Simba sasa inasubiri mshindi wa mchezo wa nusu fainali kati ya Yanga dhidi ya Mbao FC mchezo utakaochezwa kwenye uwanja wa CCM Kirumba Mwanza siku ya april 30,2017.

    No comments:

    Post a Comment