• DON'T MISS

    *****ADVERTISE HERE WITH US*****

    *****ADVERTISE HERE WITH US*****
    RABA CLASSIC

    Monday, 3 April 2017

    Serengeti Boys uso kwa uso na Black Starlets

    Timu ya taifa ya vijana wenye umri wa chini ya miaka 17,maarufu sana kama Serengeti boys leo inashuka dimbani kuchuana na Timu ya vijana toka ghana maarufu kama “Black Starlets” mchezo utakaofanyika pale uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam



    Mchezo utachezwa kuanzia majira ya saa 10:00 jioni,ambapo baada ya mchezo huo,Serengeti boys wanatarajiwa kusafiri kwaajili ya kwenda kufanya maandalizi ya fainali za kombe la mataifa ya Africa kwa vijana zitakazofanyikia Gabon Mei 14 mwaka huu.

    No comments:

    Post a Comment