• DON'T MISS

    *****ADVERTISE HERE WITH US*****

    *****ADVERTISE HERE WITH US*****
    RABA CLASSIC

    Thursday, 27 April 2017

    Real Madrid yatembeza kichapo kikali cha 6-2 kwa Derpotivo la coruna bila ya uwepo wa Cristiano Ronaldo(CR7).

    Real Madrid yaitikisa LaLiga baada ya kuitwanga Derpotivo la Coruna kwa mabao 6-2,ingawaje nyota wake kadhaa kutokuwepo dimbani, kama Cristiano Ronaldo(CR7),Karim Benzema, lakini kikosi cha Madrid kilioneka kuwa bora kuwazidi wapinzani wao Derpotivo ambao walikubali kibano kikali ambacho hata hivyo kinawafanya wawe nyuma ya Barcelona baada ya kuzidiwa magoli wa kufungwa na kushinda.

    Madrid ilipata mabao yake kwa kupitia wachezaji wake,James Rodrigues mabao mawili huku, Casemiro,Lucas Vazquez, Isco na Alvaro Morata kila mmoja akifunga goli moja na kuipa timu yao ushindi huo.
    Derpotivo ilipata mabao mawili kupitia Florin Andone na Joselu ambayo hayakuwasaidia kubadili matokeo ya mchezo huo.

    No comments:

    Post a Comment