• DON'T MISS

    *****ADVERTISE HERE WITH US*****

    *****ADVERTISE HERE WITH US*****
    RABA CLASSIC

    Saturday, 15 April 2017

    Raisi JPM amezindua hostel za chuo kikuu Dar-es-salaam.


    Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Dr John pombe Magufuli amezindua hostel mpya za wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, baada ya kukamilika kwa ujenzi wa hosteli hizo zenye uwezo wa kuchukua takribani wanachuo 3,840.


    Hii imekuja baada ya Rais Magufuli kufanya ukaguzi wa hosteli hizo mwezi Septemba,mwaka jana 2016,wakati ujenzi wake ulipokuwa ukiendelea,na wakala wa Majengo nchini TBA ndio waliosimamia zoezi zima mpaka ujenzi huo kukamilika.
    Hii italeta nafuu na fursa ya vijana na wananchi wa kitanzania kupata huduma hiyo kwa gharama za chini kabisa,mungu ibariki Tanzania na viongozi wetu wote.

    No comments:

    Post a Comment