• DON'T MISS

    *****ADVERTISE HERE WITH US*****

    *****ADVERTISE HERE WITH US*****
    RABA CLASSIC

    Saturday, 15 April 2017

    Inadaiwa Kombora la US lasambaratisha wapiganaji 90 wa kikundi cha kigaidi cha IS.

    Maafisa wa usalama wa Afghanistan wanasema zaidi ya wapiganaji 90 wa kundi la kigaidi la Islamic State(IS) waliuawa na bomu kubwa lililodondoshwa na Marekani alhamisi hii.
    Hapo awali idadi iliyokisiwa inaweza kuwa ni mara mbili ya idadI ya sasa,lakini Islamic State wamekanusha taarifa hizo kwa kusema hawampoteza mtu yeyote kwenye tukio la kombora hilo.

    Kamanda wa kijeshi wa Marekani nchini Afghanistan, Jemedari "John Nicholson",alisema kuwa Marekani iliamua kutumia bomu kubwa zaidi katika mashambulizi hayo kutokana na mbinu kabambe za kijeshi dhidi ya magaidi.

    No comments:

    Post a Comment