• DON'T MISS

    *****ADVERTISE HERE WITH US*****

    *****ADVERTISE HERE WITH US*****
    RABA CLASSIC

    Friday, 28 April 2017

    Raisi John Pombe magufuli aandaa kiama cha wenye vyeti feki










    Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania,anasubiri ripoti inayobainisha watumishi wote wenye vyeti feki ili aweze kuwashughulikia,na atapata ripoti toka kwa waziri wa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Angellah Kairuki

    Taarifa hiyo kwa vyombo vya habari iliyotolewa na Naibu Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu, Jaffar Haniu imesema ndiye atawasilisha taarifa hiyo kwa Rais.

    Aidha Serikali imejipanga kuwashughulikia wale wote watakaobainika kuwa na vyeti feki,ambapo zoezi hilo la kufuatilia wenye vyeti feki lilifanywa naserikali,hasa kwa watumishi wote wa umma na lilianza mwezi oktoba mwaka jana 2016.

    No comments:

    Post a Comment