• DON'T MISS

    *****ADVERTISE HERE WITH US*****

    *****ADVERTISE HERE WITH US*****
    RABA CLASSIC

    Friday, 28 April 2017

    Manchester City vs Manchester United watoana jasho lisilo na madhara.

    Ule mpambano mkubwa uliofanyika kwenye uwanja wa nyumbani wa Manchester City ambapo klabu hiyo iliwakaribisha majirani zao wa Manchester United.

    Mechi hiyo ambayo iliyovuta hisia za mashabiki wengi wa soka duniani na ilikuwa ikichukuliwa kama vita ya makocha Jose Mourinho na Pep Gurdiola,Mchezo ulikuwa presha ya pande zote mbili japokuwa kadri muda ulivyokuwa unazidi kwenda Manchester United walionekana kuzidiwa.

    lakini walinzi wa United walisimama imara waliokuwa huku wakiongozwa na Eric Bailly kwani walionekana kuzuia mashambulizi yaliyokuwa yakiletwa langoni mwao.Dakika ya 84 Marouane Fellaini alipewa kadi nyekundu baada ya kumchezea rafu Kun Aguero.

    Mpaka dk 90 zinamalizika na hata muda wa ziada hakuna mbabe aliyepatikana.









    No comments:

    Post a Comment