• DON'T MISS

    *****ADVERTISE HERE WITH US*****

    *****ADVERTISE HERE WITH US*****
    RABA CLASSIC

    Wednesday, 19 April 2017

    Mh Joseph Leonard Haule(Professor J) alia na kero ya maji mikumi,bungeni leo












    Mbunge wa Mikumi mh "Joseph Leonard Haule" maarufu kama Professor J, leo April 19, 2017 alisimama Bungeni kuuliza maswali kwa serikali juu ya changamoto ya maji zilizopo jimboni kwake na majibu yakatolewa na Naibu Waziri wa maji na umwagiliaji Isack Kamwelwe.

    Aidha serikali imemuahidi mbunge na wananchi wa jimbo la mikumi mradi wa maji millioni 809.4 kukamilika ifikapo mwezi mei mwaka huu,mradi utakuwa umekamilika kwani kwa sasa mradi umekamilika kwa asilimia 80,na pia serikali amewaahidi kufanyia marekebisho ya vyanzo vingine vya maji,kama “madibila na segereti”,na kwakuwa naibu waziri amekiri kuwa alikwisha tembelea maeneo hayo ya jimbo la mikumi wana mikumi wasubiri kumalizwa kwa kero hiyo miezi michache ijayo.




    No comments:

    Post a Comment