Mchezo ulikuwa mkali,naArsenal wamejikuta wakiambulia sare kwenye mchezo huo kwa kufungana goli 2-2, magoli ya Arsenal yakifungwa na Theo Walcott dakika ya 40 baada ya Leroy Sane kuifungia Man City goli la kuongoza dakika ya 5 na Sergio Aguero akapachika goli la pili ambalo lilisawazishwa na Shkodran Mustafi dakika ya 54.
Mchezo ulikuwa mkali,naArsenal wamejikuta wakiambulia sare kwenye mchezo huo kwa kufungana goli 2-2, magoli ya Arsenal yakifungwa na Theo Walcott dakika ya 40 baada ya Leroy Sane kuifungia Man City goli la kuongoza dakika ya 5 na Sergio Aguero akapachika goli la pili ambalo lilisawazishwa na Shkodran Mustafi dakika ya 54.
No comments:
Post a Comment