• DON'T MISS

    *****ADVERTISE HERE WITH US*****

    *****ADVERTISE HERE WITH US*****
    RABA CLASSIC

    Monday, 10 April 2017

    Mabaga fresh na biashara ya bajaji.

    Wasanii hao waliowahi kutamba kitambo na wimbo Tunataabika, wamegeuka kuwa madereva wa Bajaji.

    Tumekaa kimya sana kwenye muziki kwasababu tulibadilisha fani baada ya kuona kwenye muziki mambo yanatuvuruga tukaamua mimi hapa Dj Snox na mwenzangu JB mkuu wa Majaji kuingia kwenye kazi mpya ya kuendesha bajaji ili kujitafutia chochote kitu,” amesema Snox kwenye mahojiano kipindi VMic cha Channel Ten.
    kazi hio ndio tunaifanya mpaka leo hii na kituo chetu cha Bajaji kipo Kariakoo Gerezani pale mwisho wa magari ya mwendokasi,” aliongeza.
    Kwa sasa Mabaga Fresh wana nyimbo mbili mpya, moja ni singeli inaitwa MAISHA YA MTAA wamemshirikisha DOGO NIGA na wimbo mwingine unaitwa KIDAWA ambao ndani yake wamemshirikisha Q-CHILLA,nyimbo zote zimefanyika kwa producer D ambaye ndio kama meneja wao kwa sasa.

    No comments:

    Post a Comment