• DON'T MISS

    *****ADVERTISE HERE WITH US*****

    *****ADVERTISE HERE WITH US*****
    RABA CLASSIC

    Monday, 24 April 2017

    Katibu Mkuu wa Yanga Charles Boniface Mkwasa atoa ushauri kwa TFF kuhusu point 3 za mezani

    Baada ya shirikisho la soka Tanzania TFF kumaliza mzozo cha mzozo wa point 3 zilizokuwa zinawaniwa na Simba na Kagera Sugar,baada ya Simba kufungwa April 2 kwa magoli 2-1 na baadae kukata rufaa kwa madai ya Kagera kumtumia mchezaji Mohamed Fakhi akiwa na kadi tatu za njano kinyume na taratibu.


    Ambapo kamati ya katiba na hadhi za wachezaji iliwarudishia kagera sugar pointi zao na magoli kama yalivyokuwa mwanzo,na kuhitimisha juu ya mzozo huo.na hapo ndipo wadau tofauti wa soka walipokuja na ushauri tofauti kwa chama cha mpira wa miguu Tanzania.


    Mmoja wa watu waliotoa ushauri ni Katibu Mkuu wa Yanga “Charles Boniface Mkwasa” ambapo leo ametoa ushauri kwa shirikisho la soka Tanzania TFF kuhusiana na kanuni iliyopo ya timu ambayo inamchezesha mchezaji aliyekuwa na kadi tatu za njano kunyan’ganywa point 3 na kupewa mpinzani wake, Mkwasa ametoa ushauri kuhusu kipengele hicho.




    No comments:

    Post a Comment