• DON'T MISS

    *****ADVERTISE HERE WITH US*****

    *****ADVERTISE HERE WITH US*****
    RABA CLASSIC

    Monday, 24 April 2017

    Diamond platnumz aweka wazi juu ya ngoma aliyomshirikisha Rapa young killer.


    Rais wa wasafi Chibu,leo afunguka kwenye XXL ya Clouds FM ,kuwa baada ya kolabo za kimataifa kwa sasa anatarajia kuangusha ngoma kali na staa wa ndani,Diamond na team yake ambao bado wapo kwenye zoezi la kusambaza bidhaa yake ya perfume (Chibu Perfume) na kuzungumzia mengi kuhusiana na bidhaa hiyo.


    Diamond plutnumz” aliulizwa kuhusiana na tetesi ambazo zinaenea kwamba kuna ngoma yake ambayo amemshirikisha “rapa Young Killer”. Diamond amethibitisha kuwa tetesi hizo ni za kweli na kuahidi kuwa ni bonge la ngoma kwasababu Young Killer amefanya bonge moja la verse kwenye ngoma hiyo



    pia amesisitiza kuwa wimbo wao umeshakamilika na mashabiki wakae mkao wa kupokea kitu kizuri toka kwao,ambapo wanasubiri kukamilika kwa video ya wimbo huo ili iachiwe rasmi.




    No comments:

    Post a Comment