Monaco
wamemaliza mchezo wao dhidi yaBorussia Dortmund na ushindi wa bao 2
-1,mabao yaliyofungwa na Kylian Mbappe
na Falcao
kwa upande wa Monaco na bao pekee la Dotmund likiwekwa kambani na
Marco
Reus.
Uwanja wa nyumbani wa Barcelona Nou Camp,mambo yamekuwa magumu kwa wenyeji Barcelona kuondolewa katika michuano ya UEFA baada ya kulazimishwa sare ya bila kufungana.
Ambapo
Katika mchezo wa kwanza Barcelona ilichakazwa bao 3, walipokuwa
ugenini hivyo matokeo ya sare yamewafanya kuondolewa katika michuano
hiyo.Matokeo hayo ni chanya kwa upande wa Juventus na Monaco
inawafanya kufuzu katika hatua ya nusu fainali wakitanguliwa na Real
Madrid na Atletico Madrid.
No comments:
Post a Comment