• DON'T MISS

    *****ADVERTISE HERE WITH US*****

    *****ADVERTISE HERE WITH US*****
    RABA CLASSIC

    Saturday, 22 April 2017

    Fella azindua kampeni yake ya tujuane ili tusaidiane.

    leo siku ya jumamosi tarehe 22 april,2017 umeshuhudiwa ule uzinduzi wa kampeni kabambe iliyoandaliwa na Saidi Fella.

    Aidha diwani huyo wa Kata ya Kilungule "Said Fela" maarufu kama "Mkubwa Fella" wa mkubwa na wanawe leo amezidua rasmi Program iitwayo ”Tujuane ili tusaidiane” katika kiwanja cha Kilungule.
    Fella ameeleza kuwa Project hiyo ina lengo la kuwasaidia wakazi wa maeneo hayo katika maendeleo, kuanzia ngazi ya kata ili kuweza kuijenge nchi kimaendeleo.


    Tujuane ili Tusaidiane’ ni kama kusema asante kwa wananchi walionichagua. Huwezi kuenda nyumba moja moja kusema asante, lakini kupitia mradi huu ni kama njia mojawapo kuwafikia watu wangu na kuwashukuru ” ameeleza Said Fella


    No comments:

    Post a Comment