Baada ya Wolfsburg kuchapwa bao 6-0, Bayern Munich yakuchukua tena
ubingwa wa ligi ya Ujerumani “Bundesliga” ambapo wamekamilisha
mara ya tano mfululizo kunyakua kombe hilo tangu 2013/14/15/16-2017.
Real Madrid waliichapa Valencia mabao 2-1, Luis Suarez alifunga mawili na Ivan Rakitic moja na kuifanya Barcelona wao waliwachapa bao 3-0 Espanyol.hivyo kutokana na matokeo haya Barcelona yaongoza msimamo wa ligi kwa tofauti ya magoli dhidi ya Madrid.
Wakati Bayern wakichukua ubingwa,Michezo mingine iliyoshika hatamu
kidunia ni pamoja na ligi huko Hispania ,wale magwiji wa La liga
Real Madrid na Barcelona mambo bado mshikemshike katika kuwania
ubingwa wa La Liga msimu huu.
Real Madrid waliichapa Valencia mabao 2-1, Luis Suarez alifunga mawili na Ivan Rakitic moja na kuifanya Barcelona wao waliwachapa bao 3-0 Espanyol.hivyo kutokana na matokeo haya Barcelona yaongoza msimamo wa ligi kwa tofauti ya magoli dhidi ya Madrid.
No comments:
Post a Comment