• DON'T MISS

    *****ADVERTISE HERE WITH US*****

    *****ADVERTISE HERE WITH US*****
    RABA CLASSIC

    Saturday, 22 April 2017

    Askari wa jeshi la kenya waua wapiganaji wa kundi la Al Shaabab.

    Jeshi la Kenya limesema kuwa limewaua wapiganaji zaidi ya 50 wa Al-Shaabab katika oparesheni maalumu iliyofanywa Kusini mwa Somalia.
    Jeshi hilo limedai kuwa walinasa shehena ya silaha na risasi na kuharibu kabisa kambi ya wapiganaji hao katika eneo la Badhaadhe katika Lower Juba,hadi wakati huu Al Shaabab hawajasema lolote.

    Maelfu ya wanajeshi wa Kenya wanahudumia nchini Somalia chini ya mwavuli wa Muungano wa Afrika,imekuwa mara kadhaa kwa kundi la kigaidi la Al Shaabab hufanya mashambulizi ya mara kwa mara kwenye mpaka na Kenya na pia kwenye kambi za wanajeshi wa Kenya walioko Somalia.

    No comments:

    Post a Comment