• DON'T MISS

    *****ADVERTISE HERE WITH US*****

    *****ADVERTISE HERE WITH US*****
    RABA CLASSIC

    Tuesday, 10 January 2017

    WAZIRI Aipiga Stop EWURA Kupandisha Bei ya Umeme

    Waziri wa nishati na madini, Sospeter Muhongo ameipiga 'Stop' EWURA kupandisha bei ya umeme mpaka serikali itapopokea na kutathmini bei mpya kwa umakini.


    Jana EWURA ilatangaza ongezeko la bei ya umeme kuanzia Januari mosi, 2017.

    No comments:

    Post a Comment